Samia Suluhu
(Elekezwa kutoka Samia Hassan Suluhu)
Jump to navigation
Jump to search
Samia Suluhu | |
![]() | |
Makamu wa Rais
| |
Aliingia ofisini 5 November 2015 | |
tarehe ya kuzaliwa | 27 Januari 1960 Zanzibar |
---|---|
utaifa | Mtanzania |
chama | Chama Cha Mapinduzi |
mhitimu wa | Chuo Kikuu cha Mzumbe, University of Manchester, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, SNHU |
dini | Uislamu |
Samia Hassan Suluhu (alizaliwa tarehe 27 Januari 1960) ni mwanasiasa wa Tanzania na mwanachama wa chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi.[1]
Suluhu alikuwa mgombea mwenza wa John Magufuli kwa nafasi ya makamu wa rais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.[2]
Tarehe 5 Novemba 2015 aliapishwa kama makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa mwanamke wa kwanza kufikia cheo hicho.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Member of Parliament CV. Bunge la Tazania. Iliwekwa mnamo 19 February 2013.
- ↑ Mgombea mwenza Urais 2015 wa Mhe. John Pombe Magufuli ni..
![]() |
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |