Tarehe 29 Oktoba mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kura ya rais, akifuatwa na Lowassa wa Chadema.[2]. Kadiri ya tume hiyo, Magufuli alipata kura 8,882,935, sawa na asilimia 58.46 na Lowassa alipata kura 6,072,848, sawa na asilimia 39.97. Hata hivyo wapinzani walikataa kukubali matokeo hayo na wasimamizi wa uchaguzi kutoka nje walilaumu sana baadhi ya taratibu na matukio.
↑ 3.03.13.23.33.43.53.63.7"Uteuzi wa Wagombea Urais". National Electoral Commission. 21 August 2015. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-08-29. Iliwekwa mnamo 30 August 2015.More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); Check date values in: |date=, |accessdate= (help)