Tarehe 29 Oktoba mgombea wa CCM, John Pombe Magufuli alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi wa kura ya rais, akifuatwa na Lowassa wa Chadema.[2]. Kadiri ya tume hiyo, Magufuli alipata kura 8,882,935, sawa na asilimia 58.46 na Lowassa alipata kura 6,072,848, sawa na asilimia 39.97. Hata hivyo wapinzani walikataa kukubali matokeo hayo na wasimamizi wa uchaguzi kutoka nje walilaumu sana baadhi ya taratibu na matukio.
↑Raphaely, Lawrence (26 Mei 2015). "NEC sets October 25 as general elections date". Daily News. Dar es Salaam. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-07-07. Iliwekwa mnamo 6 Julai 2015. {{cite news}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
↑ 3.03.13.23.33.43.53.63.7"Uteuzi wa Wagombea Urais". National Electoral Commission. 21 Agosti 2015. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2015-08-29. Iliwekwa mnamo 30 Agosti 2015. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help)CS1 maint: date auto-translated (link)