Ofisa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Afisa)

Ofisa (pia: afisa, kutoka Kiingereza: officer) ni mtu mwenye cheo katika ofisi au katika mfumo wa shirika fulani. Neno latumiwa hasa kwa wanajeshi wa vyeo vyenye mamlaka juu ya wanajeshi wa kawaida.

Katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania vyeo vya maofisa vimepokewa kutoka jeshi la kikoloni vikifuata mfumo wa jeshi la Uingereza.

Maofisa hutofautishwa baina ya wenye kamisheni (ambavyo ni vyeo vya juu zaidi) na maafisa wa ngazi za chini.

Maofisa kwenye JWTZ[hariri | hariri chanzo]

(Cheo cha Kitanzania - (Cheo cha Kiingereza)

Vyeo vya chini[hariri | hariri chanzo]

06-Tanzania Army-WO1.svg 05-Tanzania Army-WO2.svg 04-Tanzania Army-SSG.svg 03-Tanzania Army-SGT.svg 02-Tanzania Army-CPL.svg 01-Tanzania Army-LCPL.svg
Afisa Mteule Daraja la Kwanza
(Warrant Officer Class 1)
Afisa Mteule Daraja la Pili
(Warrant Officer Class 2)
Sajinitaji
(Staff Sergeant)
Sajini
Sergeant)
Koplo
(Corporal)
Koplo Usu
(Lance Corporal)

Maofisa wenye kamisheni[hariri | hariri chanzo]

(Cheo cha Kitanzania - (Cheo cha Kiingereza)

17-Tanzania Army-GEN.svg 16-Tanzania Army-LG.svg 15-Tanzania Army-MG.svg 14-Tanzania Army-BG.svg 13-Tanzania Army-COL.svg 12-Tanzania Army-LTC.svg 11-Tanzania Army-MAJ.svg 10-Tanzania Army-CPT.svg 09-Tanzania Army-1LT.svg 08-Tanzania Army-2LT.svg 07-Tanzania Army-OC.svg

Jenerali
(General)

Luteni Jenerali
(Lieutenant General)

Meja Jenerali
(Major General)

Brigedia Jenerali
(Brigadier General)

Kanali
(Colonel)

Luteni Kanali
(Lieutenant Colonel)

Meja
(Major)

Kapteni
(Captain)

Luteni
(Lieutenant)

Luteni usu
(Second lieutenant)
Ofisa Mwanafunzi
Officer cadate)