Meja Jenerali
Meja Jenerali (kutoka Kiingereza: Major General) ni cheo cha afisa wa jeshi kilicho chini ya Luteni Jenerali na juu ya Brigedia au Brigedia Jenerali, kulingana na nchi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
![]() |
Vyeo vya kijeshi - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Jenerali * Luteni Jenerali * Meja Jenerali * Brigedia * Kanali * Luteni Kanali * Meja * Kapteni * Luteni * Luteni-usu Afisa Mteule Daraja la Kwanza * Afisa Mteule Daraja la Pili * Sajinitaji * Sajenti * Koplo * Koplo-usu |