Luteni jenerali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nyota anazopewa mtu mwenye cheo cha Luteni jenerali

Luteni jenerali ni ofisa wa jeshi mwenye cheo cha juu kuliko meja jenerali na chini ya jenerali.

Luteni jenerali wa jeshi la Tanzania kwa sasa ni Yakubu Hasan.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.jamiiforums.com/threads/uteuzi-rais-magufuli-amteua-meja-jenerali-yakubu-mohamed-kuwa-mnadhimu-mkuu-jwtz-awapandisha-cheo-brigedia-jenerali-10.1398617/