Mto Nyahua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Nyahua ni kati ya mito ya mkoa wa Tabora (Tanzania Magharibi). Ni tawimto la mto Wembere unaotiririkia ziwa Kitangiri.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]