Mto Bangala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Bangala ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania.

Unatiririka upande wa kaskazini mashariki wa nchi na kuingia katika mto Mkuzu.[1]

Mto huu unajazwa maji na poromoko la maji lijulikanalo kama Poromoko la Soni.[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Finke, Jens (26 November 2002). Rough guide to Tanzania. Rough Guides. uk. 351. ISBN 978-1-85828-783-6. Iliwekwa mnamo 31 March 2012.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Finke, Jens (2003). Tanzania (kwa Kiingereza). Rough Guides. ISBN 978-1-85828-783-6.