16 Novemba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 21: | Mstari 21: | ||
* [[2005]] - [[Henry Taube]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1983]] |
* [[2005]] - [[Henry Taube]], mshindi wa [[Tuzo ya Nobel ya Kemia]] mwaka wa [[1983]] |
||
==Viungo vya nje== |
|||
{{commons|Novemba 16}} |
|||
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/novemba/16 BBC: On This Day] |
|||
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/novemba_16 Today in Canadian History] |
|||
{{DEFAULTSORT:Novemba 16}} |
|||
[[Jamii:Novemba]] |
[[Jamii:Novemba]] |
Pitio la 12:55, 16 Aprili 2016
Okt - Novemba - Des | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | |||||
Kalenda ya Gregori |
Kufuatana na mapokeo ya Kanisa Katoliki, tarehe 16 Novemba ni sikukuu ya Watakatifu Gertrudi wa Thuringia na Margareta wa Uskoti.
Matukio
Waliozaliwa
- 1538 - Mtakatifu Turibio wa Mongrovejo, askofu wa mji wa Lima, Peru
- 1729 - Mtakatifu Egidi Maria wa Mt. Yosefu, mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo kutoka Italia
- 1904 - Nnamdi Azikiwe, Rais wa kwanza wa Nigeria
- 1922 - Jose Saramago (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1998)
- 1930 - Chinua Achebe, mwandishi Mnigeria
- 1982 - Mangwair, mwanamuziki kutoka Tanzania
- 1985 - Aminata Niaria, mwanamitindo kutoka Senegal
Waliofariki
- 498 - Papa Anastasio II
- 1093 - Margareta Mtakatifu wa Uskoti, malkia wa Uskoti
- 1272 - Mfalme Henry III wa Uingereza
- 1999 - Daniel Nathans, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1978
- 2005 - Henry Taube, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1983