Egidi Maria wa Mt. Yosefu
Mandhari

Egidi Maria wa Mt.Yosefu (jina la awali: Francesco Antonio Domenico Pasquale Pontillo; Taranto, 16 Novemba 1729 - Napoli 7 Februari 1812) alikuwa mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo Pekupeku kutoka Italia Kusini.
Kila siku alikuwa akiombaomba kwa unyenyekevu msaada katika mitaa ya mji wa Napoli akirudisha maneno ya faraja kwa wote [1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II mwaka 1996. Kabla ya hapo alitangazwa mwenye heri na Papa Leo XIII mwaka 1888.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Patron Saints Index Ilihifadhiwa 7 Januari 2014 kwenye Wayback Machine..
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |