Lima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lima

'
Habari za kimsingi
Utawala Mkoa wa Lima
Historia iliundwa 18 Januari 1535
Anwani ya kijiografia Latitudo: 12°2′0"S
Longitudo: 77°1′0"W
Kimo 110 m juu ya UB
Eneo 2.664,67 km² (mji)
Wakazi - mji: 7.584.000
Msongamano wa watu watu 8.544 kwa km²
Simu +51 (nchi) 01 (mji)
Mahali

Lima ni mji mkuu na kitovu cha uchumi wa Peru.

Mji uliundwa tar. 18 Januari 1535 na Francisco Pizarro kwa jina la "Ciudad de reyes" (mji wa wafalme). Leo hii una wakazi zaidi ya milioni sita.

Gallery[hariri | hariri chanzo]

Lima jinsi inavyoonekana kutoka angani
Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Lima kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.