5 Julai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 18: | Mstari 18: | ||
* [[1969]] - [[Tom Mboya]], mwanasiasa wa [[Kenya]], aliuawa |
* [[1969]] - [[Tom Mboya]], mwanasiasa wa [[Kenya]], aliuawa |
||
==Viungo vya nje== |
|||
{{commons|Julai 5}} |
|||
* [http://news.bbc.co.uk/onthisday/hi/dates/stories/Julai/5 BBC: On This Day] |
|||
* [http://canadachannel.ca/todayincanadianhistory/index.php/Julai_5 Today in Canadian History] |
|||
{{DEFAULTSORT:Julai 05}} |
|||
[[Jamii:Julai]] |
[[Jamii:Julai]] |
Pitio la 12:56, 9 Aprili 2016
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1962 - Nchi ya Algeria inapata uhuru kutoka Ufaransa
- 1975 - Visiwa vya Cabo Verde vinapata uhuru kutoka Ureno
Waliozaliwa
- 1810 - P. T. Barnum, mfanyabiashara kutoka Marekani
- 1888 - Herbert Spencer Gasser, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1944
- 1891 - John Howard Northrop, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1946
- 1968 - George Boniface Simbachawene, mwanasiasa wa Tanzania
- 1969 - RZA, mwanamuziki kutoka Marekani
- 1981 - Ambwene Yessayah, mwanamuziki kutoka Tanzania
Waliofariki
- 1539 - Mtakatifu Antonio Maria Zaccaria, padri mwanzilishi wa Wabarnaba
- 1927 - Albrecht Kossel, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1910
- 1966 - Georg von Hevesy, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1943
- 1969 - Tom Mboya, mwanasiasa wa Kenya, aliuawa