Nenda kwa yaliyomo

George Boniface Simbachawene

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

George Boniface Simbachawene (amezaliwa tar. 5 Julai 1968) ni mbunge wa jimbo la Kibakwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kibakwe kwa mwaka 20152020[1] [2] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 11 Juni 2017 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Juni 2017
  2. "Mengi kuhusu George Boniface Simbachawene". 13 Julai 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu George Boniface Simbachawene kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.