Frigia
Jump to navigation
Jump to search
Frigia ni jina la ufalme wa zamani, halafu mkoa wa dola la Uajemi katika eneo la nchi ya Uturuki wa leo.
Wakazi walioitwa Wafrigia walitokea Ulaya na kuzungumza lugha iliyofanana kidogo na Kigiriki.
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Phrygia at Ancient History Encyclopedia
- Phrygian Period in Anatolia
- 1911 Encyclopædia Britannica
- King Midas and Phrygia Cultural Center Archived Julai 20, 2010 at the Wayback Machine.
|
![]() |
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|