Kavala

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kavala (kwa Kigiriki Καβάλα, Kavála; zamani Neapolis) ni mji wenye bandari katika Makedonia ya mashariki. Wakazi wake ni 54,027 (2011).

Mandhari ya kiini cha mji na bandari yake

Katika Biblia[hariri | hariri chanzo]

Kadiri ya Agano Jipya, mwaka 49 au 50 mji ulitembelewa na Mtume Paulo kutokana na njozi aliyoipata ikiwa na himizo la kuingia Ulaya ili kuwaletea Injili Wamakedonia (Mdo 16:9-10). Ilikuwa mara ya kwanza kwake kufika Ulaya bara.

Matendo ya Mitume 16:11 kinasimulia hivi: "Basi tukang’oa nanga kutoka Troa, tukafika Samothrake kwa tanga moja, na siku ya pili tukafika Neapoli".

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Koukouli-Chrisanthaki Chaido, Kavala. Αrchaeological Museum of Kavala, Kavala: D.E.T.A., 2002 (in English).
  • Stefanidou Emilia, The City-Port of Kavala during the Period of Turkish Rule. An Urban Survey (1391–1912), Kavala: Historical & Literary Archive of Kavala, 2007 (in Greek).
  • Karagiannakidis Nikos – Likourinos Kyriakos, Neapolis-Christoupolis-Kavala, Kavala: Municipality of Kavala, 2009 (in Greek).
  • Koutzakiotis Georges, Cavalla, une Échelle égéenne au XVIIIe siècle. Négociants européens et notables ottomans, Istanbul: The Isis Press, 2009.
  • Roudometof Nikolaos (ed.), Notebooks of Bulgarian Occupation. Eastern Macedonia 1916–1918. v. 1, Kavala – Chrisoupoli – Eleutheroupoli, Kavala: Historical & Literary Archive of Kavala (in Greek).
  • Stavridou-Zafraka Alkmene, The development of the theme organization in Macedonia, in Byzantine Macedonia: Identity, Image and History, edited by J. Burke, R. Scott, Brill, 2000, p. 128 – 138.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Ugiriki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kavala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.