Asso

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hekalu la Athena huko Asso; kushoto kwake kinaonekana kisiwa cha Lesbo.

Asso (kwa Kigiriki: Ἄσσος, Assos) ni mji wa Uturuki, kaskazini magharibi mwa rasi ya Anatolia.

Mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, aliabiri kutoka huko akielekea Yerusalemu[1].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Mdo 20:14 And when he met us at Assos, we took him on board and came to Mitylene. 15 We sailed from there, and the next day came opposite Chios. The following day we arrived at Samos and stayed at Trogyllium. The next day we came to Miletus. 16 For Paul had decided to sail past Ephesus, so that he would not have to spend time in Asia; for he was hurrying to be at Jerusalem, if possible, on the Day of Pentecost.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Nurettin Arslan - Beate Böhlendorf-Arslan, Living in the Rocks Assos an Archaeological Guide, Istanbul 2010. ISBN 978-9944-483-30-8.
  • Haiko Türk: Die Mauer als Spiegel der Stadt. Neue Forschungen zu den Befestigungsanlagen in Assos, in: A. Kuhrmann - L. Schmidt (Ed.), Forschen, Bauen & Erhalten. Jahrbuch 2009/2010 (Berlin/Bonn 2009) p. 30-41, ISBN 978-3-939721-17-8.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Asso kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.