Patara (Lisia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la mji.

Patara (kwa Kigiriki Πάταρα, Patara) ulikuwa mji wenye bandari huko Lisia kwenye pwani ya Uturuki wa leo, karibu na kijiji cha Gelemisref name="Peschlow">Peschlow, Urs (2017), "Patara", in Niewohner, Philipp, The Archaeology of Byzantine Anatolia, New York: Oxford University Press, pp. 280–290, doi:10.1093/acprof:oso/9780190610463.003.0025 </ref>.

Mtume Paulo alifika huko mwaka 58 na kubadilisha meli katika safari yake ya kuelekea Yerusalemu (Mdo 21:1-3).

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Patara (Lisia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.