Salami

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

35°11′N 33°54′E / 35.183°N 33.900°E / 35.183; 33.900Coordinates: 35°11′N 33°54′E / 35.183°N 33.900°E / 35.183; 33.900

Thieta ya Salami.
Ukumbi wa michezo na bafu.

Salami (kwa Kigiriki cha zamani: Σαλαμίς, cha kisasa: Σαλαμίνα) ulikuwa mji-dola la Wagiriki mashariki mwa kisiwa cha Cyprus, kwenye mdomo wa mto Pedieos, km 6 kaskazini kwa Famagusta ya leo.

Salami ilikuwa shabaha ya kwanza ya umisionari wa Mtume Paulo na Barnaba mwaka 45 hivi (Mdo 13:1-5).

Mapokeo yanasema Barnaba, baada ya kuinjilisha nchi nyingine, aliuawa huko kwa kupigwa mawe mwaka 61.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Vassos Karageorghis, Salamis in Cyprus, Homeric, Hellenistic and Roman (1969), ISBN 0-500-39006-1.
  • Walter Burkert, 1992. The Orientalizing Revolution: Near Eastern Influence on Greek Culture in the Early Archaic Age (Harvard University Press)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.