Antiokia wa Pisidia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antiokia kutoka thieta ya mji.
Maghofu ya mji.
Kisima.

Antiokia wa Pisidia (kwa Kigiriki: Ἀντιόχεια τῆς Πισιδίας, Antiokeia tes Pisidias) ulikuwa mji wa Wagiriki wa Kale katika rasi ya Anatolia, sasa katika wilaya ya Isparta, nchini Uturuki.

Kwa sasa ni maghofu tu yanayopatikana km 1 kaskazini-mashariki kwa Yalvaç.

Mwaka 46 Mtume Paulo na Barnaba walifika mara mbili kuinjilisha huko (Mdo 13:13-52 na 14:21-23). Paulo alirudi tena katika maeneo hayo wakati wa safari yake ya pili (16:1) na ya tatu (18:23) ingawa alipatwa na dhuluma (2 Tim 3:11).

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Mitchell, Stephen. Pisidian Antioch : the site and its monuments / by Stephen Mitchell and Marc Waelkens ; with contributions by Jean Burdy ... [et al.]. London : Duckworth with The Classical Press of Wales, 1998.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Antiokia wa Pisidia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.