Lesbo
Lesbo (kwa Kigiriki: Λέσβος, Lésvos) ni kisiwa cha Ugiriki katika Bahari ya Aegean chenye eneo la Km² 1,633.
Kina wakazi 86,436 (2011) wanaotegemea zaidi uvuvi na utalii. Makao makuu yako Mutilene.
Mwaka 58 Mtume Paulo, katika safari yake ya tatu ya kimisionari, aliabiri kutoka huko hadi Samos akielekea Yerusalemu[1].
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mdo 20:14 And when he met us at Assos, we took him on board and came to Mitylene. 15 We sailed from there, and the next day came opposite Chios. The following day we arrived at Samos and stayed at Trogyllium. The next day we came to Miletus. 16 For Paul had decided to sail past Ephesus, so that he would not have to spend time in Asia; for he was hurrying to be at Jerusalem, if possible, on the Day of Pentecost.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Official website
- Lesvos News
- Prefecture of Lesvos. Maps. Hellenic Ministry of Culture.
- Guide of Lesbos Island
- News of Mytilene and Lesvos Island
- World's Monuments Watch List (pdf). World Monuments Fund (WMF) (2008). Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-03-20. Iliwekwa mnamo 2020-05-11.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ugiriki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Lesbo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |