Mto Selian

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Selian ni kati ya mito ya mkoa wa Arusha (Tanzania Kaskazini).

Unaanzia katika mlima Meru na kupita karibu na mji wa Arusha.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]