Mto Lumpungu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Lumpungu ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania (upande wa magharibi), ukiwa tawimto wa mto Malagarasi, wa pili nchini kwa urefu (km 475)[1][2] ambao unatiririka hadi ziwa Tanganyika, ukiwa mto unaoliingizia maji mengi zaidi.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Kisangani, Emizet F.; Bobb, F. Scott (2010). Historical Dictionary of the Democratic Republic of the Congo. Scarecrow Press. uk. 299. ISBN 978-0-8108-5761-2. Iliwekwa mnamo 30 May 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. Elf-Aquitaine (Company) (1992). Bulletin des centres de recherches exploration-production Elf-Aquitaine. Société nationale Elf-Aquitaine (Production). Iliwekwa mnamo 30 May 2012.  Check date values in: |accessdate= (help)