Mto Likuyu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Likuyu ni jina la miwili kati ya mito ya mkoa wa Ruvuma (Tanzania Kusini) ambayo maji yake yanaishia katika bahari Hindi, ya mmoja kupitia mto Ruvuma na ya mwingine kupitia mto Rufiji.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]