Nenda kwa yaliyomo

Mto Lagossa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Lagossa ni kati ya mito ya mkoa wa Kigoma (Tanzania Kaskazini-Magharibi).

Maji yake yanaelekea Ziwa Tanganyika, mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]