Mto Gurumeti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gurumeti ni mto wa mkoa wa Mara (Tanzania kaskazini) ambao maji yake yanaingia katika ziwa Viktoria na hatimaye yanaelekea Bahari ya Kati kupitia mto Naili.

Gurumeti is located in Tanzania
Gurumeti
Gurumeti
Mto Gurumeti wa Tanzania.

Majiranukta: 2°06′52" S 33°48′27" E

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]