Mto Duma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Duma ni tawimto muhimu zaidi la mto Simiyu nchini Tanzania. Kwa njia hiyo maji yake yanachangia ziwa Viktoria, mto Naili na hatimaye Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]