Mikoa ya Uganda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mikoa ya Uganda (na wilaya za mwaka 2010).

Mikoa ya Uganda ni nne tu: Wa kati, Magharibi, Mashariki na Kaskazini. Kila mmoja umegawanyika katika wilaya. Hizo zilikuwa 56 mwaka 2002,[1] zikafikia kuwa 135 (mbali ya jiji la Kampala) mwaka 2019.[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 2002 Uganda Population and Housing Census. Uganda Bureau of Statistics. Iliwekwa mnamo 18 June 2013.
  2. Status of Local Governments. Ministry of Local Government. Jalada kutoka ya awali juu ya 18 September 2010.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: