Mikoa ya Uganda
Mikoa ya Uganda ni nne tu: Wa kati, Magharibi, Mashariki na Kaskazini. Kila mmoja umegawanyika katika wilaya. Hizo zilikuwa 56 mwaka 2002,[1] zikafikia kuwa 135 (mbali ya jiji la Kampala) mwaka 2019.[2]
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "2002 Uganda Population and Housing Census". Uganda Bureau of Statistics. Iliwekwa mnamo 18 June 2013. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "Status of Local Governments". Ministry of Local Government. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 18 September 2010. Check date values in:
|archivedate=
(help)
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: