Nenda kwa yaliyomo

Mkoa wa Kati (Uganda)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani.

Mkoa wa Kati (kwa Kiingereza: Central Region) ni kati ya mikoa minne ya Uganda na eneo lake ni sawa na Ufalme wa Buganda.

Kwa sasa unaundwa na wilaya 24[1].

Makao makuu yako Kampala.

Wakazi ni 9,529,227.

Wilaya za Uganda; mkoa wa Kati una rangi nyekundu.
WilayaWakazi
(Sensa 1991)
Wakazi
(Sensa 2002)
Wakazi
(Sensa 2014)
RamaniMakao makuu
Buikwe250,511329,858422,77182Buikwe
Bukomansimbi126,549139,556151,41384Bukomansimbi
Butambala74,06286,755100,84086Gombe
Buvuma18,48242,48389,89087Kitamilo
Gomba119,550133,264159,92289Kanoni
Kalangala16,37134,76654,29327Kalangala
Kalungu152,028160,684183,23290Kalungu
Kampala774,2411,189,1421,507,08029Kampala
Kayunga236,177294,613368,06236Kayunga
Kiboga98,153108,897148,21838Kiboga
Kyankwanzi43,454120,575214,69395Kyankwanzi
Luweero255,390341,317456,95848Luweero
Lwengo212,554242,252274,95399Lwengo
Lyantonde53,10066,03993,753100Lyantonde
Masaka203,566228,170297,00451Masaka
Mityana223,527266,108328,96456Mityana
Mpigi157,368187,771250,54859Mpigi
Mubende277,449423,422684,33760Mubende
Mukono319,434423,052596,80461Mukono
Nakaseke93,804137,278197,36963Nakaseke
Nakasongola100,497127,064181,79964Nakasongola
Rakai330,401404,326516,30970Rakai
Sembabule144,039180,045252,59772Sembabule
Wakiso562,887907,9881,997,41876Wakiso
  1. "Uganda: Administrative Division". citypopulation.de. Iliwekwa mnamo 5 Novemba 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)