Wilaya ya Ibanda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Ibanda
Mahali paWilaya ya Ibanda
Mahali paWilaya ya Ibanda
Mahali pa Wilaya ya Ibanda katika Uganda
Majiranukta: 00°07′S 30°30′E / 0.117°S 30.500°E / -0.117; 30.500
Nchi Bendera ya Uganda Uganda
mji mkuu Ibanda
Idadi ya wakazi (2010 Makadirio)
 - Wakazi kwa ujumla 250,900
Tovuti:  http://www.ibanda.go.ug

Wilaya ya Ibanda ni wilaya moja ya Mkoa wa Magharibi, Uganda. Idadi ya wakazi wake ni takriban 250,900.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]