Wilaya ya Butebo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Wilaya ya Butebo
Majiranukta: 01°12′N 33°55′E / 1.200°N 33.917°E / 1.200; 33.917
Nchi Bendera ya Uganda Uganda
mji mkuu Butebo
Idadi ya wakazi (2008)
 - Wakazi kwa ujumla 120,000
Tovuti:  http://www.butebo.go.ug

Wilaya ya Butebo ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Mashariki, Uganda iliyoanzishwa tarehe 1 Julai 2017 kutokana na wilaya ya Pallisa.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]