6 Juni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mei - Juni - Jul
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

Tarehe 6 Juni ni siku ya 157 ya mwaka (ya 158 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 208.

Matukio[hariri | hariri chanzo]

Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]

Waliofariki[hariri | hariri chanzo]

Sikukuu[hariri | hariri chanzo]

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Norbert wa Xanten, Artemi na Paulina, Besarioni wa Misri, Serati, Eustoji II, Yarilati, Klaudi wa Condat, Aleksanda wa Fiesole, Hilarioni Kijana, Kolmani wa Orkney, Gilbati wa Neuffonts, Marselino Champagnat, Petro Dung, Petro Thuan, Visenti Duong, Rafaeli Guizar n.k.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 6 Juni kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.