Klaudi wa Condat
Klaudi wa Condat | |
![]() Mt. Klaudi katika dirisha la kioo cha rangi | |
Nchi | Ufaransa |
---|---|
Kazi yake | Mtakatifu |
Klaudi wa Condat (au wa Besancon; Bracon, Jura, karibu Salins-les-Bains, Ufaransa, 607 hivi - 6 Juni 696 au 699) alikuwa padri, halafu mmonaki aliyepata kuwa abati wa Condat na hatimaye askofu wa Besancon, maarufu kwa miujiza[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Juni[3].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Saint-Claude (Municipality, Jura, France)
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/56090
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Orthodox England
- (Kifaransa) Saint Claude
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |