Peter Joseph Serukamba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Peter Joseph Serukamba (amezaliwa tar. 6 Juni 1972) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini kwa mwaka 20152020. [1][2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Juni 2017
  2. "Mengi kuhusu Peter Joseph Serukamba". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.