Eustoji II

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Eustoji II katika kanisa kuu la Milano.

Eustoji II (alifariki 518 hivi) alikuwa Askofu wa mji huo, Italia Kaskazini kuanzia 512 hadi kifo chake.

Aking’aa kwa moyo wa ibada, haki na juhudi za kichungaji, alijenga batizio maarufu.[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.