Wilaya ya Bondoukou

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Wilaya ya Bondoukou (far.: département de Bondoukou) ni moja kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Zanzan nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 242.203. [1] Makao makuu yako Bondoukou (mji).

Marejeo [hariri]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na