Mkoa wa Gbêkê

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Mkoa wa Gbêkê
Mahali paMkoa wa Gbêkê
Mahali paMkoa wa Gbêkê
Mahali pa Mkoa wa Gbêkê (kijani)
katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Vallée du Bandama
Imara: 2011
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Vallée du Bandama
Serikali[1]
 - Prefect Konin Aka
 - Rais wa Baraza Jean Kouassi Abonouan
Eneo[2]
 - Jumla 8 996 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 1,010,849
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Gbêkê (kwa Kifaransa: Région de Gbêkê) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Uko katikati ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Bouaké. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 1,010,849.

Gbêkê kwa sasa imegawanywa katika wilaya nne:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. "Gbêkê" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.