Wilaya ya Béoumi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Wilaya ya Béoumi (far.: département de Béoumi) ni moja kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Vallée du Bandama nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kitovu cha nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 119.328. [1]

Makao makuu yako Béoumi (mji).

Marejeo [hariri]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na