Mkoa wa Bafing

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Mkoa wa Bafing
Mahali paMkoa wa Bafing
Mahali paMkoa wa Bafing
Mahali pa Mkoa wa Bafing (kijani)
katika Cote d'Ivoire za Jimbo la Woroba
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Woroba
Serikali[1]
 - Prefect Benoît Yao Kouakou
 - Rais wa Baraza Diomande Lassina
Eneo[2]
 - Jumla 8,650 km²
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 183,047
GMT (UTC+0)

Mkoa wa Bafing (kwa Kifaransa: Région du Bafing) ni moja kati ya mikoa 31 ya nchini Cote d'Ivoire.

Uko katika kaskazini-magharibi ya nchi. Makao makuu ya eneo hilo ni Touba. Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa watu 183,047.

Bafing kwa sasa imegawanywa katika wilaya tatu:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.
  2. "Agnéby-Tiassa" Archived 5 Novemba 2016 at the Wayback Machine., gouv.ci, accessed 23 February 2016.