Jimbo la Montagnes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jimbo la Montagnes
Jimbo la Montagnes is located in Côte d'Ivoire
Jimbo la Montagnes
Jimbo la Montagnes

Eneo katika Côte d'Ivoire

Majiranukta: 6°56′30″N 7°39′14″W / 6.94167°N 7.65389°W / 6.94167; -7.65389
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Montagnes
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,371,920[1]

Jimbo la Montagnes (kwa Kifaransa: District des Montagnes) ni moja kati ya majimbo 14 za nchini Cote d'Ivoire. Iko magharibi mwa nchi[1].

Mwaka 2014, (Sensa ya Cote d'Ivoire ya 2014) idadi ya wakazi ilikuwa watu 2,371,920[1].

Makao makuu yako Man.

Mikoa[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 "Districts of Côte d'Ivoire (Ivory Coast)". Statoids.com. Iliwekwa mnamo 12 Juni 2019.