Wilaya ya Koun-Fao
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Koun-Fao (far.: département de Koun-Fao) ni moja kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Zanzan nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 28.057. [1] Makao makuu yako Koun-Fao (mji).
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Koun-Fao kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |