Wilaya ya Fresco

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Wilaya ya Fresco
Mahali paWilaya ya Fresco
Mahali paWilaya ya Fresco
Eneo la Wilaya ya Fresco.
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Bas-Sassandra
Mkoa Gbôklé
Serikali[1]
 - Prefect Konan Djézou
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 101,298
GMT (UTC+0)

Wilaya ya Fresco (kwa Kifaransa: département de Fresco) ni moja kati ya wilaya mbili za Mkoa wa Gbôklé ulioko Kusini Magharibi mwa Cote d'Ivoire.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 101,298.

Makao makuu ya eneo hilo ni Fresco.

Wilaya ya Fresco sasa imegawanywa katika Tarafa zifuatazo:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.