Wilaya ya Ferkessédougou
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Ferkessédougou (far.: département de Ferkessédougou) ni moja kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Savanes nchini Cote d'Ivoire. Iko katika Kaskazini ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 197.725. [1] Makao makuu yako Ferkessédougou (mji).
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Ferkessédougou kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |