Wilaya ya Bouna
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Bouna (far.: département de Bouna) ni moja kati ya wilaya 7 za Mkoa wa Zanzan nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kaskazini-mashariki ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 150.484. [1] Makao makuu yako Bouna (mji).
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Bouna kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |