Wilaya ya Sassandra

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Wilaya ya Sassandra (far.: département de Sassandra) ni moja kati ya wilaya 5 za Mkoa wa Bas-Sassandra nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kusini-magharibi ya nchi. Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 152.734. [1] Makao makuu yako Sassandra (mji).

Marejeo [hariri]

  1. Namba za sensa ya mwaka 1998 kufuatana na