Wilaya ya Bongouanou
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wilaya ya Bongouanou (far.: département de Bongouanou) ni moja kati ya wilaya 8 za Mkoa wa N'zi-Comoé nchini Cote d'Ivoire. Iko katika kitovu cha nchi Mwaka 1998 idadi ya wakazi ilikuwa watu 134.915. [1] Makao makuu yako Bongouanou (mji).
Marejeo [hariri]
| Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Bongouanou kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |