Tarafa ya Attiégouakro

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wilaya ya Attiégouakro)


auto
Tarafa ya Attiégouakro
Mahali paTarafa ya Attiégouakro
Mahali paTarafa ya Attiégouakro
Eneo la Tafara ya Attiégouakro.
Imara: 2011
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Wilaya Lacs
Mkoa Bélier
Serikali[1]
 - Prefect Brah Julliette Konan
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 45,517
GMT (UTC+0)

Tarafa ya Attiégouakro (kwa Kifaransa: département d'Attiégouakro) ni moja kati ya tarafa mbili za Mkoa wa Bélier ulioko katikati mwa Cote d'Ivoire.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 45,517.

Makao makuu ya eneo hilo ni Attiégouakro.

Tarafa ya Attiégouakro sasa imegawanywa katika kata zifuatazo:

  • Attiégouakro;
  • Lolobo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.