Wilaya ya Vavoua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


auto
Wilaya ya Vavoua
Mahali paWilaya ya Vavoua
Mahali paWilaya ya Vavoua
Eneo la Wilaya ya Vavoua.
Nchi Bendera ya Côte d'Ivoire Cote d'Ivoire
Jimbo Sassandra-Marahoué
Mkoa Haut-Sassandra
Serikali[1]
 - Prefect N'Cho Pierre Nazaire M'Bassidjé
Idadi ya wakazi (2014)
 - Wakazi kwa ujumla 400,912
GMT (UTC+0)

Wilaya ya Vavoua (kwa Kifaransa: département de Vavoua) ni moja kati ya Wilaya nne za Mkoa wa Haut-Sassandra ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 400,912.

Makao makuu ya eneo hilo ni Vavoua.

Wilaya ya Vavoua sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Préfets de Région et de Préfets de Département (Conseil des ministres du mercredi 26 septembre 2012)", abidjan.net, 2 October 2012.