Wikipedia ya Kiyoruba
Jump to navigation
Jump to search
![]() |
Wikipedia ya Kiyoruba (Kiyoruba: Wikipéédíà Yorùbá) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kiyoruba. Na kwa tar. 19 Septemba 2008, Wikipedia hiyo imefikisha makala 6,054. Hii ni Wikipedia ya 98 kwa ukubwa. Pia, ni moja kati ya Wikipedia ya lugha za Kiniger-Kongo zenye makala zaidi ya 1,000, nyingine yake ni hii Wikipedia ya Kiswahili.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Wikipedia ya Kiingereza Rahisi
- Wikipedia ya Kijerumani
- Wikipedia ya Kiingereza
- Wikipedia ya Kifaransa
- Wikipedia ya Kihispania
- Wikipedia ya Kiwolofu
- Wikipedia ya Kiafrikaansi
- Wikipedia ya Kilingala
- Wikipedia ya Kizulu
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Wikipedia Yoruba
- Statistics for Yoruba Wikipedia by Erik Zachte
|
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kiyoruba kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |