Wikipedia ya Kicheki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Favicon of Wikipedia Wikipedia ya Kicheki
Wikipedia ya Kicheki
Kisarahttp://cs.wikipedia.org/
Ya kibiashara?Hapana
Aina ya tovutiMradi wa Kamusi Elezo ya Interneti
KujisajiriHiari
Lugha asiliaKicheki
MmilikiWikimedia Foundation

Wikipedia ya Kicheki (Kicheki: Česká Wikipedie) ni toleo la kamusi elezo huru ya Wikipedia kwa lugha ya Kicheki.

Ilianzishwa mnamo mwezi wa Mei katika mwaka wa 2002 kwa maomba ya mhariri aliyekuwa akichangia katika Wikipedia ya Kiesperanto. Lakini, kwa kipindi hicho, Wikipedia ilikuwa ikitumia software ya UseMod. Takriban kurasa tatu za toleo hili zilipotea wakati wa kuihamisha kutoka software ya kale kwenda MediaWiki. Mnamo tar. 20 Oktoba 2003, ilifikisha makala 1,000, ambazo nyngi zilikuwa zinahusu masuala ya Kiesperanto.

Mnamo mwezi wa Juni katika mwaka wa 2005, Wikipedia ya Kicheki imefikisha makala 10,000 na baadaye 20,000 mnamo mwezi wa Desemba katika mwaka huohuo wa wa 2005. Ukurasa wa mwanzo wa Wikipedia, ulisanifiwa upya baada ya kufikisha kiwango hicho. Na kwa tar. 18 Juni 2008, kuna zaidi ya makala 100,000, wasimamizi 21, zaidi ya watumiaji 34,000 waliojisajiri, na madazeni na madezeni ya wachangiaji wanaochangia kila siku.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wikipedia
Wikipedia
Wikipedia ya Kicheki ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kicheki kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.