Wikipedia ya Kiarabu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wikipedia ya Kiarabu

Wikipedia ya Kiarabu (Kiarabu: ويكيبيديا العربيةWīkībīdyā al-ʿArabiyya au ويكيبيديا، الموسوعة الحرة Wīkībīdyā, al-Mawsūʿa al-Ḥurra) ni toleo la kamusi elezo ya Wikipedia kwa lugha ya Kiarabu. Ilianzishwa mnamo mwezi wa Julai 2003. Na kwa mwezi wa Februari 2009, imefikisha zaidi ya makala 90,000, kurasa 358,000, watujiaji waliojisajiri ni 150,000 na mafaili 4100. Wikipedia ya Kiarabu, ni ya 26 kwa ukubwa wa wingi wa hesabu ya makala, na ya tatu kwa habari za ndani baada ya Wikipedia ya Kiingereza na Kiebrania[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikipedia
Wikipedia
Wikipedia ya Kiarabu ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wikipedia ya Kiarabu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.