Mto Luiche (Kigoma)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mto Luiche)

Mto Luiche (Kigoma) ni kati ya mito ya mkoa wa Kigoma (Tanzania Kaskazini-Magharibi).

Maji yake yanaelekea Ziwa Tanganyika, mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]